Michezo pia hujenga afya kwa kuliona hilo mdau mwenzetu aliguswa na
kuamuwa kujitolea mchango wake,mapema leo asubuhi nikiwa ofisini
Makumbusho sec nilipokea mgeni& kunikabidhi mipira kama mchango wake
katika zoezi nililolianzisha la kusaidia watoto wenye mahitaji
maalum.Ili kukuza vipaji vya watoto wetu wenye mahitaji maalumu.asante
sana
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Chapisha Maoni