Manukato itakuwa biashara nyingine atakayokuwa anafanya bongo fleva super staa kutoka Tanzania Diamond Platnumz.
Kwa sasa amejiunga na mastaa kama Jennifer Lopez na Nicki Minaj
ambao tayari wana manukato yao na kila siku wanatengeneza pesa kwa
kubuni manukato mengine na kuingiza sokoni kwaajili ya mashabiki zao.
Diamond Platnumz anaelekea kuingiza sokoni manukato yake yatakayoitwa #ChibuPerfume
Nyumbani
»
Entertainment
» Diamond Platnumz ashikiki kwa kuusaka mkwanja hii apa biashara nyingine anayotarajia kuianzisha ivi karibuni!!!!
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Chapisha Maoni