0
410490cd-7ab7-4109-b631-e20c6c010834
Mamia ya wakazi wa Dar es Salaam waliojitokeza kwenye tamasha la Serebuka lililofanyika kwenye viwanja vya Posta, Kijitonyama
Tamasha hilo liliandaliwa na kampuni ya StarTimes na kudhaminiwa na kampuni ya Huawei Tanzania.
c3b7a6e6-bdfb-4894-9590-f48c4ddd31c7
Meneja ya Huawei nchini Tanzania, Huxiangyang Jacko akimkabidhi mshindi wa bahati nasibu simu ya Huawei P9 lite
Jide, Stamina na Kiba ndio waliopata shangwe zaidi huku mashabiki walimtaka hitmaker huyo wa ‘Aje’ aendelee kuimba licha ya muda wa kuendelea na tamasha hilo kuwa umekwisha.
13642886_1770460619833310_1399554786_n
Lady Jaydee akitumbuiza kwenye tamasha hilo
13731eb0-d7a8-4624-ac46-3d5a11781996
Meneja masoko Huaweim Bi Jane Wang akiongea kwenye tamasha hilo
Alikiba-1
Alikiba akizikonga nyoyo za mashabiki waliokuwa na kiu ya burudani kwenye tamasha hilo

DSC_0116
Chura kaachiwa huru: Snura akionesha mauno yanavyokatwa
c64748b8-695a-4bef-af02-286e5b187b02
Mshereheshaji wa shughuli hiyo, Jokate akiteta jambo na Bi Jane Wang
Nature
Juma Nature

Tazama picha zaidi za tamasha hilo.
d38dac3f-9c25-45d9-9151-f37b10ee5a0c
f9b1db48-6690-41f2-a44d-6ea966af3b77
06768eb9-1ab0-48bd-aea0-62088e899be5
b22b91bf-b864-4cc4-8d53-fe9d50bcde8d
b175505f-fbdb-4a61-896b-d96e07f7c41d
c3b7a6e6-bdfb-4894-9590-f48c4ddd31c7


Chapisha Maoni

 
Top