
Mamia ya wakazi wa Dar es Salaam waliojitokeza kwenye tamasha la Serebuka lililofanyika kwenye viwanja vya Posta, Kijitonyama
Tamasha hilo liliandaliwa na kampuni ya StarTimes na kudhaminiwa na kampuni ya Huawei Tanzania.

Meneja ya Huawei nchini Tanzania, Huxiangyang Jacko akimkabidhi mshindi wa bahati nasibu simu ya Huawei P9 lite
Jide, Stamina na Kiba ndio waliopata shangwe zaidi huku mashabiki walimtaka hitmaker huyo wa ‘Aje’ aendelee kuimba licha ya muda wa kuendelea na tamasha hilo kuwa umekwisha.

Lady Jaydee akitumbuiza kwenye tamasha hilo

Meneja masoko Huaweim Bi Jane Wang akiongea kwenye tamasha hilo

Alikiba akizikonga nyoyo za mashabiki waliokuwa na kiu ya burudani kwenye tamasha hilo

Chura kaachiwa huru: Snura akionesha mauno yanavyokatwa

Mshereheshaji wa shughuli hiyo, Jokate akiteta jambo na Bi Jane Wang

Juma Nature
Tazama picha zaidi za tamasha hilo.






Chapisha Maoni