watu wangu wa maana sana tukutane baadae kwenye the beat 120 ya triple a
fm 88.5 arusha ntahusika kuanzia mida ya sa 7 mchana mpaka 10 jioni
itakua nizaidi ya ulivyozoea pia unaweza nisikiliza popote duniani
kupitia www.tripleafm.com
dondosha playlist yako apa ihusike baadae kitaa chako unakosaje kwa
mfano team chocolate wote pale kati ama siyooo.....share na wanetu kama
umeelewa #wessurportanzania #besdeejayzinbongotanzania #deejaycholatemusa #mwanaharakatidj
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Chapisha Maoni