0
Ebana inakuaje wanangu kwanza naomba radhi kwa kupotea mda sana umu msiwaze tuko pa1 kama kawaida acha niwape ratiba zangu wanangu wenyewe na #teamchocolate nzima kama kawaida kuanzia j3 saa 7 mchana mpaka sa 10 jioni utanipata kwenye the beat 120   TRIPLE A RADIO 88.5 ARUSHA pia unaweza nisikiliza popote duniani kupitia www.tripleafm.com j5 tunakutana triple a night club bila kusahau ijumaa na jumamosi mida ya sa 10 jion mpaka 12 tusomane triple a radio katika kipindi cha old streem baada ya hapo nahamia triple a night club usinikose mtu wangu every week #wesupportanzania #mwanaharakatidj #deejaychocolatemusa #bestdeejayzinbongotanzania

Chapisha Maoni

 
Top