0
Kwenye picha ni Dj Chocklate




Moja ya kundi kubwa nchini Tanzania (BEST DEEJAYZ IN BONGO) lililoanzishwa miezi kadhaa iliyopita limeweza kuiyomba serikali kuweza kuwatambua Ma Dj wa nchini Tanzania kama jinsi wanavyowatambuwa watu wengine wanaojishughulisha na kazi tofauti tofauti ambao wamesajiliwa kisheria.

Kwa sasa kundi hilo lipo katika mchakato wa kutengeneza katiba ambao utasaidia kuweza kulifanya kundi hilo liweze kusajiliwa na serikali na liweze kutambulika kisheria. Kupitia hii itaweza kusaidia ma dj wengi nchini Tanzania kuweza kupata haki zao kama ma dj nchini maana wamekuwa wakinyanyasika sana na waajiri wao

Ma Dj hawa wameweza kuunda kundi hili ili waweze kujikomboa na baadhi ya waajiri ambao wanawanyanyasa hasa wanapowajiri


Chapisha Maoni

 
Top